Top-ads

By | 12:04 PM


 



Zuku ilizinduliwa rasmi jana usiku katika sherehe ya kufana iliyofanyika kwenye ukumbi wa Golden Tulip. Sherehe hii ilihudhuriwa na wajumbe, waingizaji, wajasiriamali na watu mbalimbali walioshuhudia uzinduzi wa Zuku TV.
Mwenyekiti wa Wananchi Group, mheshimiwa Ali Mufuruki aliongelea mfumo mzima wa kiufundi wa runinga, ikifuatiwa na maonesho ya fataki na pia burudani toka kwa wasanii mbalimbali kuwadhihirisha wageni wote.
"Tunayo furaha kuzindua TV ya Zuku hapa Tanzania," Alisema Richard Bell, Afisa mkuu mtendaji wa Wananchi Group. "Ni hatua kubwa kwetu na…

Zuku ilizinduliwa rasmi jana usiku katika sherehe ya kufana iliyofanyika kwenye ukumbi wa Golden Tulip. Sherehe hii ilihudhuriwa na wajumbe, waingizaji, wajasiriamali na watu mbalimbali walioshuhudia uzinduzi wa Zuku TV.
Mwenyekiti wa Wananchi Group, mheshimiwa Ali Mufuruki aliongelea mfumo mzima wa kiufundi wa runinga, ikifuatiwa na maonesho ya fataki na pia burudani toka kwa wasanii mbalimbali kuwadhihirisha wageni wote.
"Tunayo furaha kuzindua TV ya Zuku hapa Tanzania," Alisema Richard Bell, Afisa mkuu mtendaji wa Wananchi Group. "Ni hatua kubwa kwetu na tunafarijika kuweza kutoa burudani bora majumbani kwa watu wote.

Televisheni ya Zuku inatoa uchaguzi mpana wa stesheni za burudani ikiwa ni pamoja na Habari, Michezo na Sinema, majarida na muziki. Hivi vinajumuisha chaneli za nje kama vile BBC, MTV Base, Sentanta Sports, MGM movies na zinginezo nyingi. Pia Msambazaji hutoa ofa kabambe za stesheni kama vile Zuku Afrika ambayo huonesha bara la Afrika, Zuku Maishaambayo huonesha makala mbalimbali, Zuku Michezo pamoja na chaneli lukuki za sinema. Huduma hii ya Zuku hupatikana kupitia satelaiti Tanzania nzima.
Mkurugenzi wa TCRA,Profesa John Mkoma akibonyeza kitufe ikiwa ni ishara ya kuzindua Televisheni ya Zuku Africa kupitia kampuni ya Wananchi Satelite Tanzania inayotoa matangazo yake kwa kutumia ving'amuzi nchini Tanzania , Hafla ya uzinduzi iliyofanyika kwenye hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es salaam jana jioni ikihudhuriwa na wadaum mbalimbali na wageni waalikwa. Katika picha kulia ni Richard Bell Afisa Mtendaji Mkuu wa makampuni ya Wananchi Group na kulia ni Mwenyekiti wa Kampuni ya Wananchi Group Bw. Ali Mufuruki wakishuhudia tukio hilo.
 
Mkurugenzi wa TCRA,Profesa John Mkoma mbele ya wageni waalikwa mbalimbali kabla ya kuzindua kampuni ya Wananchi Satelite jana katika hafla iliyofanyika jana kwenye hoteli ya Golden Tulip kulia ni Richard Bell Afisa Mtendaji Mkuu wa makampuni ya Wananchi Group na kulia ni Mwenyekiti wa makampuni ya Wananchi Group Bw. Ali Mufuruki
 
Mwenyekiti wa makampuni ya Wananchi Group Bw. Ali Mufuruki akizungumza katika uzinduzi huo na kumkaribisha Mkurugenzi wa TCRA Profesa John Mkoma.  
Richard Bell Afisa Mtendaji Mkuu wa makampuni ya Wananchi Group akimkaribisha Mwenyekitiwa Makampuni ya Wananchi Group Ali Mufuruki.
Kundi la TMK wanaume Family likitumbuiza katika uzinduzi huo jana.
 
Bendi ya Tanzanite ikiongozwa na mwanamzuiki nguli John Mhina ilitoa burudani ya kutosha katika uzinduzi huo jana.
Wageni waalikwa mbalimbali wakifuatilia matukio yaliyokuwa yakiendelea katika uzinduzi huo.
 
Wadau hawa nao walikuwepo ndani ya nyumba kama unavyowaona wengi wanaipenda ZUKU TV.
 
Waimbaji wa muziki wa injili pamoja na waigizaji wa filamu hawakukosa uzinduzi huop kutoka kulia ni Mwigizaji Natasha, Monalisa , Mwimbaji Alice na mumewe ambaye pia ni mwimbaji Bw. Robert David wakipozi kwa picha.
 
Richard Bell Afisa Mtendaji Mkuu wa makampuni ya Wananchi Group katikati na Mwenyekiti wa makampuni ya Wananchi Group Bw. Ali Mufuruki kulia wakimsikiliza Meneja mkuu wa Wananchi Satelite Bw Mohamed Jeneby akiwaelezea jambo.
 
Richard Bell Afisa Mtendaji Mkuu wa makampuni ya Wananchi Group kulia i na Mwenyekiti wa makampuni ya Wananchi Group Bw. Ali Mufurukiwakijadili jambo katika uzinduzi huo.
 
Wadau kutoka ZUKU TV wakipozi kwa picha jana katika uzinduzi huo.
Mwanamuziki AY na wenzake walihudhuria pia uzinduzi huo.
Jaquiline Karanja kulia na Moureen walikuwepo pia hebu wacheki na pozi yao.
 
Mamaa Shamimu Mwasha a.k.a. ZEZE wa http://8020fashions.blogspot.com/akitafuta taswira katika uzinduzi huo, kuminya jicho ni lazima kama unataka taswira iliyotukuka.
 
Kutoka kulia ni wadau ZIZZOU wa ZIZZOU Fashion, Suzy wa Clouds na mdau Godliver wa Prime Time wakipozi kwa picha.

Zuku ilizinduliwa rasmi jana usiku katika sherehe ya kufana iliyofanyika kwenye ukumbi wa Golden Tulip. Sherehe hii ilihudhuriwa na wajumbe, waingizaji, wajasiriamali na watu mbalimbali walioshuhudia uzinduzi wa Zuku TV.
Mwenyekiti wa Wananchi Group, mheshimiwa Ali Mufuruki aliongelea mfumo mzima wa kiufundi wa runinga, ikifuatiwa na maonesho ya fataki na pia burudani toka kwa wasanii mbalimbali kuwadhihirisha wageni wote.
"Tunayo furaha kuzindua TV ya Zuku hapa Tanzania," Alisema Richard Bell, Afisa mkuu mtendaji wa Wananchi Group. "Ni hatua kubwa kwetu na tunafarijika kuweza kutoa burudani bora majumbani kwa watu wote.

Televisheni ya Zuku inatoa uchaguzi mpana wa stesheni za burudani ikiwa ni pamoja na Habari, Michezo na Sinema, majarida na muziki. Hivi vinajumuisha chaneli za nje kama vile BBC, MTV Base, Sentanta Sports, MGM movies na zinginezo nyingi. Pia Msambazaji hutoa ofa kabambe za stesheni kama vile Zuku Afrika ambayo huonesha bara la Afrika, Zuku Maishaambayo huonesha makala mbalimbali, Zuku Michezo pamoja na chaneli lukuki za sinema. Huduma hii ya Zuku hupatikana kupitia satelaiti Tanzania nzima.
Mkurugenzi wa TCRA,Profesa John Mkoma akibonyeza kitufe ikiwa ni ishara ya kuzindua Televisheni ya Zuku Africa kupitia kampuni ya Wananchi Satelite Tanzania inayotoa matangazo yake kwa kutumia ving'amuzi nchini Tanzania , Hafla ya uzinduzi iliyofanyika kwenye hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es salaam jana jioni ikihudhuriwa na wadaum mbalimbali na wageni waalikwa. Katika picha kulia ni Richard Bell Afisa Mtendaji Mkuu wa makampuni ya Wananchi Group na kulia ni Mwenyekiti wa Kampuni ya Wananchi Group Bw. Ali Mufuruki wakishuhudia tukio hilo.
Mkurugenzi wa TCRA,Profesa John Mkoma mbele ya wageni waalikwa mbalimbali kabla ya kuzindua kampuni ya Wananchi Satelite jana katika hafla iliyofanyika jana kwenye hoteli ya Golden Tulip kulia ni Richard Bell Afisa Mtendaji Mkuu wa makampuni ya Wananchi Group na kulia ni Mwenyekiti wa makampuni ya Wananchi Group Bw. Ali Mufuruki
Mwenyekiti wa makampuni ya Wananchi Group Bw. Ali Mufuruki akizungumza katika uzinduzi huo na kumkaribisha Mkurugenzi wa TCRA Profesa John Mkoma.  
Richard Bell Afisa Mtendaji Mkuu wa makampuni ya Wananchi Group akimkaribisha Mwenyekitiwa Makampuni ya Wananchi Group Ali Mufuruki.

 
Bendi ya Tanzanite ikiongozwa na mwanamzuiki nguli John Mhina ilitoa burudani ya kutosha katika uzinduzi huo jana.
 
Wageni waalikwa mbalimbali wakifuatilia matukio yaliyokuwa yakiendelea katika uzinduzi huo.
 
Wadau hawa nao walikuwepo ndani ya nyumba kama unavyowaona wengi wanaipenda ZUKU TV.
Waimbaji wa muziki wa injili pamoja na waigizaji wa filamu hawakukosa uzinduzi huop kutoka kulia ni Mwigizaji Natasha, Monalisa , Mwimbaji Alice na mumewe ambaye pia
Newer Post Older Post Home