Top-ads

By | 1:19 AM

BORESA TRADITIONAL MEDICINE CL


tiba asisili ya mimea

Tunafurahi kuwaalika kushiriki baraka zilizokutembelea leo kwa njia ya ujumbe  huu wenye tumaini la ukombozi  dhidi ya matatizo ya  ya magonjwa yanayokusumbua kwa muda mrefu sasa mpaka kiasi cha kukatisha tama ya kuioshi,sasa karibu ufuatane nasi ili upate kujuwa huduma zetu kwa undani,BORESA TRADITIONAL MEDICINE COMPANY LTD  ni kampuni ya kizalendo ambayo inajishughulihs a za uzalishaji wa madawa,viungo vya aina mbalimbali vya chakula na kufanya utafiti wa namna ya kuyakabili magonjwa mbalimbali yanayozidi kuibua kila kuchao.
Lakini kubwa zaidi tumefungua kituo cha kisasa kwa ajili ya matibabu ya binadamu kwa kutumia tiba za asili zinazotokana na mbegu,matunda,maua,majani,asali mbichi ya nyuki wakubwa na wadogo,nafaka,na mimea tiba  kwa ujumla.
Dawa zetu hutengenezwa kwa kuchaganya na asali, na kwa namna  ya kustaajabisha dawa zetu zimeonnyesha uwezo mkubwa katika kutibu magonjwa mengi yaliyoshindikana  kwa wagonjwa  kutoka katika mikoa mbalimbali,na nchi jirani za Kenya,Malawi na Zambia,baadhi ya magonjwa hayo ni maradhi ya moyo kwa ujumla,moyo kutanuka,tunmdu katika moyo,kupooza(kisukari),Bp,kifua kikuu nk.
Magonjwa mengine ni saratani (cancer) za aina mbalimbali,macho,vidonda vya tumbo,athma (pumu)kikohozi,amoeba,typhoid,maumivu ya mifupa,maralia sugu,kuimarisha mfumo wa uzazi,kuondoa sumu mwilini,kusafisha kizazi,kuimarisha kumbukumbu,kifafa,meno,uzazi wa mpango,mapafu,chembe ya moyo,magonjwa ya zinaa.
Pia kuimarisha mfumo wa kinga ya mwili kwa haraka,siko seli,maradhi ya kuishiwa damu nk.Hayo ni baadhi tu ya magonjwa tunayoshughulika nayo katika kituio chetu.
Pia tunamshukuru  mwenyezi mungu kwa kutuwezesha kutengeneza dawa zenye uwezo mkubwa wa kutibu magonjwa mengi nyemelezi pamoja na kupunguza makali ya ugonjwa wa ukimwi na hivyo kurefusha maisha ya waathirika bila athari yeyote.
Baada ya kutumia dawa zetu huchuykua muda mfupi kuleta mnatokeo na hutumika kwa muda mfupi,baaadhi ya dawa hizo ni
  1. BORESA LEAVES ANTIBODY
  2. NATURAL ANTIBIOTIC
  3. BARAKA HMC
  4. MAFUTA YA UBUYU NA MLONGE
  5. BORESA dvt- na nyingine nyingi.
Maandalizi ya bidhaa zetu huzingatia kanuni bora za usindikaji asali, na vyakula na mimea tiba kufuatia matokeo ya tafiti zilizofanyika sehemu mbalimbali duniani na tafiti zetu wenyewe kwa kutumia uzoefu wa vizazi vilivyotangulia hapa Tanzania pamoja na kumwomba mwenyezi mungu (Ezekiel 47:12).bila kuhusisha nguvu za giza ,hiyo ndiyo dira ya mafanikio yetu.
Tunapenda kusema hatuzujuwi wala hatuhusiki kutoa huduma za mambo yenye mwelekeo wa imani za kishirikina.Kwa sababu hiyo bidhaa na huduma zetu ni salama kwa matumizi ya watu wa matabaka mbalimbali kiimani.
(Kampuni ya Boresa)Inaamini kwamba matumizi ya vyakula vilivyozalishwa kwa mbolea zisizo na asili na kutibiwa kwa dawa zenye sumu za kuulia wadudu,ulaji mbaya,unywaji bila kusahau dhambi zinazosababisha baadhi ya magonjwa ni kiwanda kikubwa cha kuzalisha magonjwa mengi sugu kiasi kwamba miili yetu sasa imekuwa kama  dampo la sumu,kutokana na matatizo mengi kwenye teknolojia ya vyakula na madawa (Boresa Traditional Medicine Co.ltd) tunashauri kwamba sasa ndio wakati muafaka wa kurudi kwenye matumizi ya bidhaa  asili ambazo mababu na mabibi zetu walizitumia,wakaishi miaka mingi,kwani kuna siri kubwa na nzuri ajabu ambayo mungu ameiweka kwenye bidhaa asili,kwa sababu hiyo bidhaa asili ni salama zaidi,na kwa kutokujua hilo,watu wengi wameendelea na mapokeao ya kutukuza vyakula na dawa za kigeni na kuzinyanyapaa bidhaa zetu za asili zawadi bora tuliyopewa na mwenyezi mungu na kwa hiyo watu wengi wameendelea kupoteza maisha kama neon la mungu lisemavyo watu wangu wanaam=ngamia kwa kukosa maarifa!Hosea 4:6.
Biblia imeweka wazi umuhimu wa matumizi ya bidhaa za asili kama tusomavyo katika ezekieli47:12,Mwanzo1:29-31,ufunuo 22:2,Mathayo 3:4 nk. Pamoja na changamoto zilizoko kwenye vyakula na madawa ya kemikali,Boresa Traditional Clinic and Research Centre tunafurahi kuwafahamisha watanzania tukianzia  na mpendwa unayesoma taarifa hizi,tumedhamiria kutoa mchango mkubwas katika kupambana na magonjwa hayo kwa kadri mwenyezi mungu alivyotujalia kwa kuhakikisha dawa za kukabiliana na maradhi hayo zinapatikana kwa wakato wote katika kituo chetu kwa bei za jumla na reja reja.
Boresa tunashukuru sana maafisa ugani Wizara ya maliasili na utafiti,Idara ya misitu na Nyuki Mbeya,Dodoma,Singida na Ludewa,wafugaji wa nyuki wote na wadau wote wa mazao ya nyuki kwa ushirikiano wanaotupa pamoja na kuelimisha jamii umuhimu wa kutumia mazao ya nyuki kama lishe,kiinga na tiba,inatia moyo kwamba sasa jamii imeshaanza kuelewa asali imeanza kupewa  umuhimu mkubwa katika maeneo mbalimbali nchini.Boresa Traditional Co.ltd inapenda kutoa mwito kwa serikali,taasisi za dini,mashirika ya watu binafsi,waunge mkono jitihada hizi za kupambana na maradhi,samabamba na kuielimisha jamii juu ya ushuhuda wa dhati,kwa kila huduma asili utakayoitumia na kupata matokeo chanya au hasi.
Mpendwa msomaji,ndugu yetu na mtu muhimu kwetu,Boresa inaamini wewe umeungana na maelfu ya watu waliopata huduma zetu,nawe utakuwa huru kusema ukweli juu ya matokeo ya imani yako kwetu.Tunakualika katika maoni na ushauri kupitia mawasiliano yetu  tuliyoyaweka  katika sehemu ya mawasiliano,ili huduma hii isonge mbele na kuokoa maelfu ya watanzania walio kata tama juu ya matatizo ya afya zao.
Tunayo mengi ya kukueleza lakini kwa leo tunapenda kusihi hapa endelea kuungana nasi katika tovuti hii,tunakutakia kila lakheri na bareaka za mungu tukikukariubisha kutembelea kituo chetu cha boresa traditional Clinic and Reseach Centre.
  • Tupo Mbeya mjini,Sokomatola ndani ya Soko,karibu sana .
  • Siku za kazi ni Jumatatu-Jumamosi saa 1.00 asubuhi hadi saa  12 jioni.
  • Endapo unahitaji huduma kwa dharulka siku ya jumapili tupigie simu utahudumiwa.
  • Kwa watu wanaoishi mbali na Mbeya tunatoa huduma kwa kutuma bidhaa kwa njia ya mabasi ya abiria au Posta
Tunafurahi zaidi kama utatufikishia salam zetu au ujumbe huu muhimu kwa wapendwa,rafiki zako,ndugu,jamaa na majiranio zako.Tiba asili ni sayansi ya asili tuitumie inatoa mchango kwa zaidi ya asilimia 60 ya huduma ya afya katika taifa hili.Ujumbe Piga vita mauaji ya Albino kwa kuepuka imani potofu wote tunayo haki ya kuishi
Boresas It is the centre which deals with,treatment of chronic diseases and Common Deseases by the natural medicine,which it mixture of Plant’s leaves,roots,flowers,seed and garlic and Honey.It also provide counceling on how to avoid different deseased attacking human being.The Counceling it help to protect body from being deseased and fo those who suffering from diseases.
Her below are some of the diseases we deal with:
  1. Heart
  2. Diabetes.
  3. Rheumatism.
  4. Cancer.
  5. Ulcers.
  6. Asthma.
  7. Kidney stone and liver
  8. Sexual transimitted Diseases (STD’s)
  9. Fungal Infection.
  10. Eyes Diseases.
  11. Tuberculosis (TB).
  12. HIV/AIDS.
  13. Sexual Debility.
  14. Fibroids.
  15. Breast Inflamation.
  16. Improper Menstrual Cycle.
  17. Chronic and Acute cough.
  18. Obesity.
  19. Oedema.
  20. Wounds.
  21. Ear pains.
  22. Bones Diseases etc.
“NONE OF US IS PERFECT;THE AL MIGHTY WHO IS PERFECT IS ABOVE US  ALL CREATURES ARE WEAK BEFORE HIM”
HE IS THE SUPREME JUSTICE,AND HIS DIVINING POWER IS THERE FOR ALL TO SEE IT IS ONLY HIM WHOM TO WORSHIP,HE IS ABOVE ALL-AMEN.
TIBA  asilia ni urithi uliorithiwa vizazi kwa vizazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu ila hutofautiana karne na karne na jamii hadi jamii,taifa hadi taifa nk.
Lakini lenmgo likiwa ni kutumia dawa,lishe na mazoezi kuytaondoa mardahi katika mwili wa viumbe hai,kituo chetu cha boresa ni miongoni mwa vitiuo bvichache  vyenye ushirikiano na vituo viongine,mashirika,taasisi,makampuni pamoja na watu binafsi
Dawa zetu huandaliwa katika hali ya usafi na mazingira salama,chini ya ushauri wa mamlaka husika TFDA-Mkemia mkuu wa serikali.
Kituo chetu kinatoa huduma kwa mujibu wa sheria ya tiba asili tiba mbadala,sheria namba 23 (2002) chini ya ATME hati No 087.
Newer Post Older Post Home