Top-ads

By | 6:30 PM

 

MSANII MASHUHURI WA TASNIA YA BONGO FILAMU(TANZANIA)  AFARIKI DUNIA NI STEVEN KANUMBA THE GREAT R.I.P STEVEN KANUMBA







Habari zilizonifikia now ni kuhusu Bongo Movie Star Steven Kanumba kuwa amefariki dunia usiku wa kuamkia jana kwa kudondoka gafla na kukimbizwa hospital ya Mwimbili na mauti yalipomkuta. 
Baadae asubuhi ndipo ndugu walitoa taarifa rasmi juu ya kifo cha kanumba

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
Amen
Newer Post Older Post Home