Top-ads

By | 6:31 PM

TAARIFA ZILIZO TUFIKIA HIVI PUNDE NI KWAMBA MWILI WA MAREHEM KANUMBA UTAZIKWA  KESHO KATIKA MAKABURI YA KINONDONI...MWILI KUAGWA  KATIKA VIWANJA VYA LEADERS. MAANDALIZI YA KUAGA MWILI YAENDELEA.

Mwili wa marehemu Steven Kanumba utachukuliwa kwa msafara kutoka Hospitali ya Taifa, 
Muhimbili saa 2:30 asubuhi. Utapitishwa Barabara ya Umoja wa 
Mataifa na Ali Hassan Mwinyi hadi Viwanja vya Leaders Club, 
Kinondoni ambako Misa ya kumuombea itasomwa pamoja na 
salamu mbalimbali kabla ya watu wote kumuaga.
 
Wito unatolewa kwa watu kujitokeza kwa wingi kuanzia saa 2:00 asubuhi, 
wakijipanga kando ya Barabara za Umoja wa Mataifa na 
Ali Hassan Mwinyi ili wautolee heshima mwili wa Kanumba 
wakati ukitolewa Muhimbili kwenda Leaders Club.

Saa 3:30 asubuhi, mwili wa Kanumba utapokelewa Viwanja vya Leaders, 
ukitanguliwa na mapokezi ya wazazi wake, viongozi mbalimbali wa serikali ambao juu yao
 kabisa atakuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
 Dk. Mohamed Gharib Bilal.
Saa 4:00, itakuwa ni muda wa kusoma Misa ambayo itachukua dakika 60
saa 5:00 kitakuwa kipindi cha salamu kutoka kwa watu mbalimbali.

Saa 6:00 mchana, ratiba ya kumuaga Kanumba itaanza mpaka saa 9:00 alasiri na baada ya hapo, 
utakuwa wakati wa kuusafirisha mwili kwa msafara kutoka Leaders Club 
mpaka Makaburi ya Kinondoni, msafara ukipita Barabara ya Tunisia, 
utakatisha Barabara ya Kinondoni kuelekea makaburini.
Saa 10:00 alasiri, mazishi yatafanyika kwa kufuata utaratibu wa imani ya marehemu.
 
  Wanakamati wa shughuli ya kuandaa mazishi ya marehemu Steven Kanumba wakijadiliana jambo katika Viwanja vya Leaders le
Maua yaliyoandaliwa na wanakamati hao.
Jukwaa la shughuli hiyo likiandaliwa.
Ujenzi wa jukwaa hilo ukiendelea.

Canter likisomba viti kwa ajili ya shughuli ya kesho.

 NYUMBANI NAKO WATU WAFURIKA KUMUAGA THE GREAT,ITS ALL ABOUT THE  BIG LOVE THEY HAVE
 
 

MH.JAKAYA KIKWETE RAIS WA TANZANIA AENDA KUHANI MSIBA WA KANUMBA.ITS GREAT LOVE I EVER HAD..R.I.P  KANUMBA
                                           WHAT AN HONOUR!


 MH JAKAYA  MRISHO KIKWETE.
 watanzania wapata faraja
kumuona rais wao msibani ..wasanii wasema thamani yao sasa wameitambua
viongozi wengine wa serikari pia walikuwepo kuhani msiba wa kanumbana mh.SAMWELI SITA akiwa  NAPE NAUYE
PRESIDENTS SON MR RIDHIWAN KIKWETE..,
Newer Post Older Post Home