Top-ads

Wema Sepetu na Kajala walivyojirusha kwenye show ya uzinduzi wa ngoma ya Izzo B "tumogere", kabla ya usiku kumharibikia Kajala

By | 4:43 AM

wema-kajala-2

Wema Sepetu akiserebuka kabla ya kuingia kwenye gari kuelekea kwenye show
wema-kajala-2wema-kajala-3

Wema na Kajala wakiwasili Complex Club 71, Tegeta
wema-kajala-1

Kajala akicheza ngoma za Taarab
wema-kajala-0

Wema Sepetu na Kajala walivyojirusha kwenye shoo ya Izzo Bizness. Kajala ambaye alikua MC wa show hiyo, alikua amelewa na bahati mbaya aliumwa; kitu kilichomlazimisha kuondoka mapema. Wasanii wengine waliokuwemo kwenye show hiyo ni kama T.I.D, Vanessa “Vee Money” Mdee, AY, Mwana FA, Shetta Ze Don, Barnaba, Quick Rocka,na Jux Vutton
wema-kajala-3

Wema naye akikata mauno kidogo kuonjesha mashabiki wake, huku Kajala akiwa amepunzika kwenye kochi. Kajala alikua amelewa na hakuwa anajisikia vizuri, aliondoka muda mchache baadae
wema-kajala

Wema akimtunza msanii Jux; ambaye alimsifia kuwa alipendeza kuliko wanaume wote usiku huo
Newer Post Older Post Home