Top-ads

By | 7:48 AM

Vurugu kubwa zafanyika Zanzibar kupinga Muungano, magari yachomwa moto, watu wajeruhiwa


Vurugu ziliendelea hadi usiku

Kwa mujibu wa Radio One Stereo kumetokea vurugu kubwa visiwani Zanzibar baada ya kikundi cha Muamsho kuukataa Muungano.

FFU wakipambana na waandamanaji
Barabara zikiwa wazi kufuatia vurugu hizo
Katika vurugu hizo zilizotokea jana/usiku wa kuamkia leo kanisa na gari la Askofu limechomwa moto.
Mingoni mwa magari yaliyochomwa moto

Muamsho ni kikundi ya masheikh wa kizanzibar ambao mwanzo walikuwa wanahubiri dini kama mihadhara na sasa wamejiingiza kwenye masuala ya kisiasa.
Wanawake nao waliungana na wengine kuandamana
FFU wa Zanzibar katika jitihada za kuzuia maandamano hayo
Kufuatia maandamano hayo watu mbalimbali wa Tanzania bara na visiwani wapo kwenye mjadala mzito kupitia Twitter kuhusiana na tukio hilo na mustakali wa Muunguno.

Newer Post Older Post Home