Top-ads

By | 3:17 PM

RAILA ODINGA AHAMASISHA WAKENYA KUMPIGIA KURA PREZZO


King wa bling hatimae ameingia katika fainali za Bigbrother zitakazo fanyika jumapili ya wikii hii, show imebakiwa na washiriki sita kwa sasa walioingia fainali ambao ni , Prezzo, Lady May, Keagan, Wati na Talia.
kwa mtazamo wa watu wengi inaonekana Prezzo yuko karibu sana na dola za kimarekani 300,000 amabayo ndio atakazopata mshindi wiki hii..
katika nchi 15 zinazohusika katika kupiga kura, kila kura ya nchi hizo itahesabika kama kura moja kila nchi itakayopiga kura basi kura itahesabiwa kama ni moja, kwahiyo mwenye kupata kura chache, atakosa chance ya kurudi na mkwanja.
kampeni ya kupigia kura prezzo imeonekana kuongezeka speed baada ya waziri mkuu kenya kutweet
Newer Post Older Post Home