Top-ads

WAISLAM WACHAFUA HALI YA HEWA JIJINI DAR

By | 4:12 AM

MAANDAMANO YA WAISLAMU YALIVYOCHAFUA HALI YA HEWA JIJINI DAR LEO

Wananchi wakitawanyika wakati wa vurugu eneo la Msimbazi, Kariakoo jijini Dar.
Polisi wakiimarisha ulinzi eneo la Kariakoo leo.
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa leo katika maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam baada ya polisi kuzuia maandamano yaliyotaka kufanywa na baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu kitendo kilichopelekea mabomu ya machozi kulipuliwa na baadhi ya waumini hao kutia nguvuni na polisi.
Magari ya Jeshi la Wananchi Tanzania yakielekea Kariakoo kwa ajili ya kuimarisha ulinzi eneo hilo.
Jamaa huyu alidakwa na polisi wakati wa maandamano hayo.
Polisi wakiwatangazia wananchi waliokuwa eneo la Kariakoo kutawanyika mara moja wakati wa vurugu hizo.
Mama huyu alipoteza fahamu baada ya milipuko kadhaa kutokea eneo hilo.
Polisi wakiwa kazini kuzuia maandamano hayo.
Baadhi ya waandamanaji waliokamatwa wakati wa vurugu hizo wakiingizwa kituo cha polisi Msimbazi.
Newer Post Older Post Home