Top-ads

By | 4:48 PM

MBEYA CITY STAND UP NI:USIKU WA IZZO B NA GODZILLA NDANI YA NEW MAISHA CLUB WEUWEEEE!!!







Usiku wa Izzo B na Godzilla ndani ya new maisha club usiku wa kuamkia leo J tatu kiukweli show ilikuwa ni nzuri na mashabiki waliwapokea wasanii hawa wawili jinsi inavyotakiwa big up to Izzo B na Godzilla pamoja na All kiba kwa kutoa support.
Newer Post Older Post Home