Top-ads

SHAKIRA NA PIQUE WAPATA MTOTO WA KIUME

By | 6:47 AM



Mwimbaji wa muziki wa Pop kutoka Colombian anayefahamika kwa jina la Shakira amejifungua mtoto wa kiume jana katika mji wa Barcelona.
Taarifa hizi tuliweza kuzifahamu baada Shakira na kuandika katika kupitia website na ujumbe aliyoandika ni huu hapa"We are happy to announce the birth of Milan Piqué Mebarak, son of Shakira Mebarak and Gerard Piqué, born January 22nd at 9:36pm, in Barcelona, Spain.

The name Milan (pronounced MEE-lahn), means dear, loving and gracious in Slavic; in Ancient Roman, eager and laborious; and in Sanskrit, unification.

Just like his father, baby Milan became a member of FC Barcelona at birth.

The hospital confirmed that the couple’s first child weighed approximately 6lbs. 6 ounces, and that both mother and child are in excellent health.


Shakira na mpenzi wake mcheza mpira  Gerard Piqué  wameachia picha kadhaa zinazoonyesha uka uzito wake wakisherehekea ujio wa mtoto wao wakwanza
 akiwa amevaa bikini top na sketi, huku boyfriend akiwa hana shati, picha inaonyesha ukaribu wao wakiwa wanasuburi ujio wa mtoto wao wakwanza wakiume

 Picha hizi ambazo zilipigwa na Jaume Laiguana, zilitupiwa kwenye mtandao mara baada ya wawili hao kuamua kuungana na UNICEF ku host a virtual baby shower.
Ready and waiting: Shakira and Gerard Piqué have posed for a series of intimate shots, showing off her baby bump
 

PREGNAT AND PROUD: SHAKIRA AKIONYESHA MIMBA YAKE AKIWA NA BIKINI TOP

  
Not long now: The Colombian singer shows off her amazing pregnant shape in the snaps wearing just a pair of loose-fitting trousers and a bikini top  



Pregnant and proud: Shakira and her footballer beau Gerad Pique have posed for this beautiful picture which shows the singer in all her pregnant glory 



Beautiful: In the second image, taken as part of the 35-year-old's virtual baby shower alongside UNICEF, Sharkira stands in a flowing almond gown





Shakira, 35, amefata nyayo za ma staa kama  Demi Moore and Britney Spears,  ambao walishawahi kupiga picha za namna hii wakati wa muda wa mwisho mwisho wa mimba zao.

Shakira na mchezaji huyu wa FC Barcelona walikutana mwaka 2010, pale alipotokea kwenye music video ya Shakira, (waka waka, this time for Africa) ambao ulikua ndio wimbo wa kombe la dunia.
 
Newer Post Older Post Home